Kipa Danijel Subasic amekuwa shujaa wa Croatia baada ya kuokoa penalti tatu za Denmark leo Uwanja wa Nizhny Novgorod mjini Novgorod, Urusi na kuipeleka timu yake Robo Fainali Kombe la Dunia ambako itakutana na wenyeji, Urusi. Mchezo huo ulimalizika kwa sare ya 1-1 ndani ya dakika 120, Mathias Jorgensen akianza kuifungia Denmark dakika ya kwanza, kabla ya Mario Mandzukic kuisawazishia Croatia dakika ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment