Beki wa kushoto, Layvin Kurzawa akishangilia baada ya kuifungia PSG mabao matatu peke yake dakika za 52, 72 na 78 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Anderlecht usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Marco Verratti dakika ya 30 na Neymar Junior dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Darts star thrown out of World Championship after failing drugs test
-
Taylor, 27, cruised to a 3-0 win over Oskar Lukasiak on his Alexandra
Palace debut last Sunday and was due to face Jonny Clayton in the second
round of the...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment