Kiungo wa Bayern Munich, Arturo Vidal akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Nahodha wa Celtic, Scott Brown katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya jana usiku Uwanja wa Celtic Park mjini Glasgow, Scotland. Bayern Munich ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Kingsley Coman dakika ya 22 and Javi Martinez dakika ya 77, wakati la Celtic lilifungwa na Callum McGregor dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Carlo Ancelotti's son leaves first management job under mysterious
circumstances after 'falling out with the board' at Brazilian side Botafogo
-
The 36-year-old had previously assisted his famous father at clubs
including Bayern Munich, Napoli, Everton, and Real Madrid, and remains his
assistant for...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment