Mohamed Salah akisujudu kumshukuru Mungu baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 61 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Hertha Berlin leo Uwanja wa Olympia Berlin mjini Berlin, Ujerumani. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Dominic Solanke dakika ya 15 na Georginio Wijnaldum dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment