Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Javier Hernandez 'Chicharito' akiwa ameshika jezi ya West Ham United baada ya kukamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 16 kutoka Bayer Leverkusen ya Ujerumani akisaini mkataba wa miaka mitatu na atakuwa analipwa Pauni 140,000 kwa wiki PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McErlean and Armstrong secure M-Sport WRC drives
-
Motorsport Ireland Academy duo Josh McErlean and Jon Armstrong will drive
for M-Sport in the World Rally Championship in 2026.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment