Wachezaji wa PSG wakishangilia baada ya kuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza Ufaransa kutwaa Kombe la Ligi mara nne mfululizo kufuatia kuifunga Monaco 4-1 Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais. Mabao ya PSG yalifungwa na Julian Draxler dakika ya nne, Angel Di Maria dakika ya 44 na Edinson Cavani mawili dakika za 54 na 90, wakati la Monaco lilifungwa na Thomas Lemar dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment