Wachezaji wa Arsenal wakimlalamikia refa kwamba Harry Kane alijirusha baada ya kugongana na wachezaji wa Arsenal ili apewe penalti, ambayo alikwenda kuipiga mwenyewe na kuifungia bao la pili Tottenham Hotspur dakika ya 58 ikishinda 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa White Hart Lane, London. Bao la kwanza lilifungwa na Dele Alli dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Justice secretary faces no confidence vote in grooming gangs row
-
Opposition parties have accused Angela Constance of misrepresenting the
position of a leading expert on grooming gangs.
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment