Luis Suarez akifurahia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 50 na 87 katika ushindi wa 3-0 usiku wa jana Uwanja wa RCDE mjini Cornella de Llobregat kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya wenyeji, Espanyol. Bao lingine la Barcelona katika mchezo huo wa mahasimu wa Katalunya lilifungwa na Ivan Rakitic dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Russia is a threat to the UK and our sons and daughters must be ready to
fight, armed forces chief warns
-
Chief of defence staff Richard Knighton warned the situation is ‘more
dangerous than I have known during my career’
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment