Marco Reus na Pierre-Emerick Aubameyang wakipongezana baada ya wote kuifungia Borussia Dortmund katika ushindi wa 3-2 ugenini dhidi ya Bayern Munich katika Nusu Fainali ya Kombe la Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena, Munich. Reus alifunga la kwanza dakika ya 19, aubameyang la pili dakika ya 69 na la tatu lilifungwa na Ousmane Dembele dakika ya 74, wakati ya Bayern yalifungwa na Javi Martinez dakika ya 28 na Mats Hummels dakika ya 41 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United and Bournemouth draw 4-4 in Premier League thriller
-
Manchester United drew with Bournemouth 4-4 in one of the best games in the
Premier League on Monday. United coach Ruben Amorim said before the match
that ...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment