Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akifurahia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za 12 na 61 katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Osasuna usiku wa leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Andre Gomes dakika ya 30 na 57, Paco Alcecer dakika ya 64 na 86 na Javier Mascherano kwa penalti dakika ya 67 na la Osasuna limefungwa na Roberto Torres dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United and Bournemouth draw 4-4 in Premier League thriller
-
Manchester United drew with Bournemouth 4-4 in one of the best games in the
Premier League on Monday. United coach Ruben Amorim said before the match
that ...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment