Kocha wa Newcastle, Rafa Benitez (katikati) akipongezana na wachezaji wake baada ya kufanikiwa kurejea Ligi Kuu ya England jana kufuatia ushindi wa 4-1 dhidi ya Preston North End katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Uwanja wa St. James' Park. Newcastle imefikisha pointi 88 baada ya kucheza mechi 44 na inaendelea kushika nafasi ya pili nyuma ya Brighton & Hove Albion wenye pointi 92 za mechi 44 ambao pia wamepanda Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment