Nyota wa Manchester City, Leroy Sane akienda chini baada ya kukwatuliwa na Marten de Roon wa Middlesbrough, rafu iliyosababisha penalti ambayo ilifungwa na Sergio Aguero dakika ya 69 kuipatia timu hiyo bao la kwanza katika sare ya 2-2 leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Riverside. Bao lingine la City limefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 85, wakati ya Boro yamefungwa na Alvaro Negredo dakika ya 38 na Calum Chambers dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ruben Amorim admits his Man United players were both 'frustrated and
inspired' by thrilling 4-4 draw against Bournemouth - as he pinpoints two
clear areas for improvement
-
CHRIS WHEELER: Ruben Amorim was left counting the cost of Manchester
United's failure to kill off Bournemouth after a thriller that evoked
memories of some...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment