Na Baraka Kizuguto, DAR ES SALAAM
LIGI Kuu ya Vodacom inatarajiwa kuendelea kesho (jumatano) kwa viwanja vitatu kutimua vumbi, Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam, Yanga SC watawakaribisha Kagera Sugar mchezo utakaoanza majira ya saa 10 kamili jioni.
Jijini Tanga maafande wa Mgambo Shooting watakua wenyeji wa Simba SC katika mchezo utakaofanyika uwanja wa Mkwakwani, huku jijini Mbeya wenyeji Mbeya City watawakaribisha timu ya ya Stand United kutoka mkoani Shinyanga kwenye uwanja wa Sokoine.
LIGI Kuu ya Vodacom inatarajiwa kuendelea kesho (jumatano) kwa viwanja vitatu kutimua vumbi, Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam, Yanga SC watawakaribisha Kagera Sugar mchezo utakaoanza majira ya saa 10 kamili jioni.
Jijini Tanga maafande wa Mgambo Shooting watakua wenyeji wa Simba SC katika mchezo utakaofanyika uwanja wa Mkwakwani, huku jijini Mbeya wenyeji Mbeya City watawakaribisha timu ya ya Stand United kutoka mkoani Shinyanga kwenye uwanja wa Sokoine.
![]() |
| Kagera Sugar wana kazi na Yanga SC kesho Taifa |



.png)
0 comments:
Post a Comment