Mshambuliaji wa Simba SC, Meddie Kagere akiudhibti mpira dhidi ya beki, Kennedy Wilson kwenye mazoezi ya timu hiyo jana Uwanja wa Mo Simba Arena, Bunju nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam, mabingwa hao watetezi wakijiandaa kumalizia msimu wa Ligi Kuu ya Tanzania waliouanza vyema na wanaelekea kutwaa taji la tatu mfululizo
No wonder ticket prices are sky high! FIFA confirm eye-watering World Cup
prize money as fans fume over costs
-
The eye-watering prize fund was approved by the footballing body at a
meeting in Doha on Tuesday ahead of FIFA's annual awards evening.
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment