Nyota wa Everton, Tom Davies akikosa bao la wazi baada ya kugongesha nguzo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya mahasimu wao, Liverpool uliomalizika kwa sare ya 0-0 Uwanja wa Goodison Park usiku wa jana. Sasa Liverpool watasubiri kushinda dhidi ya Crystal Palace ili kutangaza ubingwa na hiyo ni iwapo Manchester City hawatashinda dhidi ya Burnley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police investigate cricket star over allegations of sexual touching
-
NSW fast bowler Ross Pawson has been stood down by Cricket NSW after police
launched an investigation into allegations of sexual touching.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment