Harry Maguire akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 118 ikiwalaza wenyeji, Norwich 2-1 katika Robo Fainali ya Kombe la FA England usiku huu Uwanja wa Carrow Road. Odion Ighalo alianza kuifungia Man United dakika ya 51, kabla ya Todd Cantwell kuwasawazishia wenyeji dakika ya 75 na dakika ya 89 wakampoteza Timm Klose aliyetolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Odion Ighalo. Man United wanakwenda Nusu Fainali ya Kombe la FA PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment