Harry Maguire akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 118 ikiwalaza wenyeji, Norwich 2-1 katika Robo Fainali ya Kombe la FA England usiku huu Uwanja wa Carrow Road. Odion Ighalo alianza kuifungia Man United dakika ya 51, kabla ya Todd Cantwell kuwasawazishia wenyeji dakika ya 75 na dakika ya 89 wakampoteza Timm Klose aliyetolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Odion Ighalo. Man United wanakwenda Nusu Fainali ya Kombe la FA PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ruben Amorim admits his Man United players were both 'frustrated and
inspired' by thrilling 4-4 draw against Bournemouth - as he pinpoints two
clear areas for improvement
-
CHRIS WHEELER: Ruben Amorim was left counting the cost of Manchester
United's failure to kill off Bournemouth after a thriller that evoked
memories of some...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment