Kiungo Mbrazil, Carlos Henrique Casemiro akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao pekee dakika ya 45 akimalizia pasi ya mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Espanyol kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa RCDE. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 71 baada ya kucheza mechi 32, sasa Los Blancos wakiwazidi pointi mbili mabingwa watetezi, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ruben Amorim admits his Man United players were both 'frustrated and
inspired' by thrilling 4-4 draw against Bournemouth - as he pinpoints two
clear areas for improvement
-
CHRIS WHEELER: Ruben Amorim was left counting the cost of Manchester
United's failure to kill off Bournemouth after a thriller that evoked
memories of some...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment