Tyrone Mings akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Aston Villa bao la kusawazisha dakika ya 66 ikitoa sare ya 2-2 na wenyeji, Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Bao la kwanza la Aston Villa limefungwa na Jack Grealish dakika ya 11, wakati mabao ya Man United yamefungwa na Tom Heaton aliyejifunga dakika ya 42 na Victor Lindelof dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
OLIVER HOLT: Alex Carey's cynical opportunism may just have cost England
the Ashes - will he get the same reception Stuart Broad did for not
walking? Yeah, right
-
Alex Carey has become a quite exceptional player. If it weren't for
Mitchell Starc, he could be the player of the series. For all that, he
discovered what ...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment