Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Manchester City dakika ya 69 hilo likiwa bao lake la kwanza kufunga nyumbani tangu Januari, timu hiyo ikitoka nyuma na kushinda 3-1 dhidi ya Leicester City leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Riyad Mahrez dakika ya 30 na Ilkay Gundogan kwa penalti dakika ya 43 kufuatia Jamie Vardy kuitanguliza Leicester kwa bao la dakika ya 22 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bombshell new documentary lifts the lid on Jordon Hudson's age-gap romance
with Bill Belichick... from PR disasters to leaked phone calls
-
The romance, between a 24-year-old former cheerleader and the NFL's
greatest ever coach, has been the subject of explosive reports throughout
his tenure wi...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment