Willian akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea mabao yote mawili dakika za 12 akimalizia pasi ya Mateo Kovac na ya 45 na ushei kwa penalti katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Tottenham Hotspur inayofundishwa na kocha wao wa zamani, Jose Mourinho kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: Ollie Pope plumbs new depths in England's dismal batting
response, more Snicko embarrassment and Nathan Lyon overtakes Aussie great
-
OLIVER HOLT IN ADELAIDE: England's hopes of regaining the Ashes are hanging
by the most frayed of threads after another dismal performance.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment