Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akikimbia kushangilia baada ya kuisawazishia Real Madrid dakika ya 90+5 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Valencia iliyotangulia kwa bao la Carlos Soler dakika ya 78 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Mestalla. Matokeo hayo yanamaanisha Real Madrid inaendelea kulingana kwa pointi na mabingwa watetezi, Barcelona 35 kila timu baada ya mechi 16, ingawa wanazidiwa wastani wa mabao tu kuelekea El Clasico usiku wa Jumatano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment