Simba Queens imeedeleza ubabe kwa Yanga Princess baada ya ushindi wa 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamefungwa na Mwanahamisi Omar dakika ya 13 na Neema Kilinga mawili dakika ya 35 na 86, wakati la Yanga Princess limefungwa na Shelda Boniface dakika ya 25
All you need to know about Sports Personality of the Year 2025
-
BBC Sport has everything you need to know about BBC Sport's Personality of
The Year 2025 and how to vote.
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment