Raheem Sterling (kushoto) akishangilia baada ya kuwafungia mabao mawili mabingwa watetezi, Manchester City dakika za 50 na 70 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyej, Oxford United kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup usiku wa jana Uwanja wa The Kassam. Bao lingine la Man City lilifungwa na Joao Cancelo dakika ya 22, wakati la Oxford United lilifungwa na Matt Taylor dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment