Mshambuliaji Alexandre Lacazette (kulia) akifurahia na mwenzake, Bukayo Saka baada ya kuifungia tmu hiyo bao la kwanza dakika ya78 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Standard Liege kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Saka dakika ya 81, wakati ya Standard Liege yalifungwa na Samuel Bastien dakika ya 47 na Selim Amallah dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ruben Amorim admits his Man United players were both 'frustrated and
inspired' by thrilling 4-4 draw against Bournemouth - as he pinpoints two
clear areas for improvement
-
CHRIS WHEELER: Ruben Amorim was left counting the cost of Manchester
United's failure to kill off Bournemouth after a thriller that evoked
memories of some...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment