Mshambuliaji Alexandre Lacazette (kulia) akifurahia na mwenzake, Bukayo Saka baada ya kuifungia tmu hiyo bao la kwanza dakika ya78 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Standard Liege kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Saka dakika ya 81, wakati ya Standard Liege yalifungwa na Samuel Bastien dakika ya 47 na Selim Amallah dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New York Knicks win NBA Cup after stunning fourth-quarter comeback as
Jordan Clarkson helps spoil Victor Wembanyama's dream of a first title
-
NBAsuperstar Victor Wembanyama was closing in on his first trophy with the
San Antonio Spurs until the Knicks' late comeback turned the game on its
head.
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment