Afisa Habari wa klabu ya Simba, Hajji Sunday Manara akiwa na kocha mpya Mbelgiji, Sven Ludwig Vandenbroeck mwenye umri wa miaka 40 baada ya kuwasili nchini jana kwa ajili ya kusaini mkataba wa kujiunga na klabu hiyo kufuatia kuachana na timu ya taifa ya Zambia. Vandenbroeck aliyezaliwa Septemba 22 mwaka 1979 mjini Vilvoorde, Ubelgiji anazidiwa mwaka mmoja na msaidizi wake, Suleiman Matola aliyezaliwa Aprili 24 mwaka 1978 mjini Kigoma
England are left on the brink of Ashes humiliation in Adelaide after
another miserable day - as sad sight confirms Ben Stokes' side are not
serious about winning back the urn
-
LAWRENCE BOOTH IN ADELAIDE: On the day England needed a miracle, they got
the off-spin of Will Jacks and Joe Root. Australian minds will know that
the tour...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment