Philippe Coutinho akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao la tatu dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Tottenham Hotspur jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Bayern Munich yalifungwa na Kingsley Coman dakika ya 14 na Thomas Muller dakika ya 45, wakati la Spurs lilifungwa na Ryan Sessegnon dakika ya 20. Bayern Munich imeongoza kundi kwa pointi zake 18, ikifuatiwa na Spurs pointi 10 na zote zinasonga mbele hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BBC lose Commonwealth Games rights after over 70 years - as TNT outbid
broadcaster to show Glasgow 2026
-
The BBC had been the principal partner of the Commonwealth Games since
1954, having provided free-to-air coverage for 18 consecutive editions of
the multi-...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment