Tammy Abraham akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza Chelsea dakika ya 19 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Lille kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la pili la Chelsea lilifungwa na Cesar Azpilicueta dakika ya 35, wakati la Lille lilifungwa na Loic Remy dakika ya 78 na kwa matokeo hayo, The Blues inaungana na Valencia kufuzu hatua ya 16 Bora baada ya wote kumaliza na pointi 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The secrets behind Exeter Chiefs' revival: How coaching reshuffle and a new
star centre has last season's strugglers leading the pack again after
dramatic 30-24 win over Saracens
-
NIK SIMON: Back in August, Tony Rowe sat in one of the meeting rooms at
Sandy Park and banged his fists on the table. 'We're back,' barked the
Exeter Chief...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment