Serge Gnabry akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao matatu dakika za 19, 47 na 60 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Ireland Kaskazini kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Commerzbank-Arena mjini Frankfurt am Main. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Leon Goretzka dakikaya 43 na 73 na Julian Brandt dakika ya 90 na ushei, wakati la Ireland Kaskazini lilifungwa na Michael Smith dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment