Lionel Messi akiifungia Argentina bao la kusawazisha kwa penalti dakika ya 90 na ushei katika sare ya 2-2 na Uruguay baada ya beki Jose Martin Caceres kuunawa mpira kwenye boksi usiku wa jana katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Bloomfield mjini Tel-Aviv. Uruguay ilitangulia kwa bao la Edinson Cavani dakika ya 34 kabla ya Sergio Aguero kuisawazishia Argentina dakika ya 63 na Luis Suarez kufunga la pili dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment