Jonjo Shelvey akipiga shuti kuifungia bao la kusawazisha Newcastle United dakika ya 88 katika sare ya 2-2 na Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. James' Park. Bao la kwanza la Newcastle limefungwa na Jetro Willems dakika ya 25, wakati ya Manchester City yamefungwa na Raheem Sterling dakika ya 22 na Kevin De Bruyne dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: Harry Brook makes a costly error, Australia star goes for
more than £2m as record IPL signing and worst shot of the series
-
OLIVER HOLT IN ADELAIDE: England appear to be heading towards their second
best day of the Ashes so far. Australia suffered a blow before the start of
play.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment