Washambuliaji Marcus Rashford wa Manchester United na Harry Kane wa Tottenham Hotspur wakipongezana baada ya wote kuifungia England katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Kosovo kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Fadil Vokrri mjini Pristina. Kane alifunga dakika ya 79 na Rashford dakika ya 83, wakati mabao mengine ya 'Simba Watatu' yalifungwa na Harry Winks dakika ya 32 na Mason Mount dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
All you need to know about Sports Personality of the Year 2025
-
BBC Sport has everything you need to know about BBC Sport's Personality of
The Year 2025 and how to vote.
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment