Luka Modric akikimbia kushangilia baada ya kusababisha mabao mawili na kufunga moja katika ushindi wa 3-1 wa Real Madrid dhidi ya Real Sociedad usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu jana. Willian Jose alianza kuwafungia wageni dakika ya pili tu kabla ya Karim Benzema kuisawazishia Real dakika ya 37, Federico Valverde kufunga la pili dakika ya 47 wote wakimalizia pasi za Luka Modric aliyefunga bao la tatu dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police investigate cricket star over allegations of sexual touching
-
NSW fast bowler Ross Pawson has been stood down by Cricket NSW after police
launched an investigation into allegations of sexual touching.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment