Georginio Wijnaldum akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao matatu dakika za sita, 66 na 78 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Estonia usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam. Mabao mengine ya Uholanzi yalifungwa na Nathan Ake dakika ya 18 na Mryon Boadu dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment