Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Ureno mabao manne dakika za saba kwa penalti, 61, 65 na 76 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya wenyeji, Lithuania kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Vilniaus LFF mjini Vilnius. Bao lingine la Ureno lilifungwa na William Carvalho dakika ya 90 na ushei, wakati la Lithuania limefungwa na Vytautas Andriuskevicius dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two Bayern stars: the top ever-presents in world football
-
These gentlemen cannot complain about a lack of playing time. The CIES
Football Observatory recently examined the ever-present players in world
football ov...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment