Mshambuliaji Mbrazil, Gabriel Martinelli (kushoto) akishangilia na Calum Chambers baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 31 kabla ya kufunga na la tano dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Nottingham Forest usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la Ligi England 'Carabao Cup'. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Rob Holding dakika ya 71, Joe Willock dakika ya 77 na Reiss Nelson dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment