Roberto Pereyra akishangilia baada ya kuifungia Watford bao la kusawaziwsha dakika ya 81 kwa penalti ikitoa sare ya 2-2 na Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo ambao ni wa kwanza baada ya Quique Sanchez Flores kurejea Vicarage Road. Mabao ya Arsenal yamefungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika za 21 na 32 wakati la kwanza la Watford limefungwa na Tom Cleverley dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LA Rams superstar's brother arrested for stealing LA Lakers player's car in
bizarre cross-sport crime bombshell
-
Cops were called to the One Hotel in Hollywood after the vehicle was
tracked there, per a report from NBC4 Investigates, and it was then found
that the sus...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment