Nyota wa Bayern Munich, Kingsley Coman akishangilia baada ya kuifungia Ufaransa bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Andorra kwenye mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Clement Lenglet dakika ya 52 na Wissam Ben Yedder dakika ya 90 na ushei, wakati Antoine Griezmann alikosa penalti dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2 charged with 2nd-degree murder in St. Patrick's Day slaying of Mexican
citizen in North End
-
Officers were called to Pritchard Avenue, between Charles and Salter
streets, where they found Diego Moscoza, 28, lying dead on the ground on
March 17, acc...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment