Mshambuliaji wa KRC Genk, Mbwana Ally Samatta 'Kapteni Diego' (kulia) akiwa na Mtanzania mwenzake, chipukizi Kelvin John 'Mbappe' mjini Genk ambaye ameitwa na klabu hiyo nchini Ubelgiji kwa ajili ya kusaini mkataba baada ya kuonyesha kiwango kizuri kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 (AFCON U17) mjini Dar es Salaam Aprili mwaka huu
Police investigate cricket star over allegations of sexual touching
-
NSW fast bowler Ross Pawson has been stood down by Cricket NSW after police
launched an investigation into allegations of sexual touching.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment