Kipa wa zamani wa Manchester United, Peter Schmeichel (mwenye kofia na miwani) akifuatia mchezo wa Kundi A wa timu za taifa za vijana chini ya umri wa miaka 21 za England na Qatar katika michuano ya Toulon jana. England ilishinda 4-0, mabao ya Alhama Wende, Ronaldo Vieira, Tammy Abraham na Adam Armstrong PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jake Paul's jaw is broken in Anthony Joshua battering:
YouTuber-turned-boxer rushes to hospital
-
Jake Paul drove himself to hospital with a suspected broken jaw after his
knockout defeat by Anthony Joshua.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment