• HABARI MPYA

    Saturday, January 16, 2021

    SIMBA SC YAMSAJILI WINGA HATARI MZIMBABWE, PERFECT CHIKWENDE KUTOKA FC PLATINUM YA BULAWAYO

    KLABU ya Simba SC imemtambulisha winga Mzimbabwe, Perfect Chikwende kama mchezaji wake mpya kutoka FC Platinum ya Bulawayo nchini Zimbabwe.

    Huyo anakuwa mchezaji mpya wa pili tu Simba SC katika dirisha hili dogo, baada ya kiungo Mganda, Thadeo Lwanga.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YAMSAJILI WINGA HATARI MZIMBABWE, PERFECT CHIKWENDE KUTOKA FC PLATINUM YA BULAWAYO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top