Nyota wa Bayern Munich, Robert Lewandowski akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za nane na 90 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji Mainz jana usiku kwenye mchezo wa Bundesliga. Bao lingine la Bayern Munich lilifungwa na Arjen Robben dakika ya 21, wakati la wenyeji lilifungwa na Jhon Cordoba dakika ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal's injury crisis worsens as another star is forced off against
Sporting Lisbon in major blow ahead of title run-in
-
Arsenal have suffered another injury blow, with Mikel Arteta left sweating
on the fitness of a key man ahead of their crucial run-in this season.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment