Mshambuliaji Kelechi Iheanacho (kulia) akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester City, Leroy Sane na Nolito baada ya kufunga bao la kusawazisha dakika ya nane katika sare ya 1-1 na Celtic kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Patrick Roberts alianza kuwafungia Man City dakika ya nne na kwa matokeo hayo City inamaliza nafasi ya pili nyuma ya Barcelona na zote zinafuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Luka Dončić, Mavs Hyped By NBA Fans for Series-Tying Win vs. Kawhi Leonard,
Clippers
-
Home-court advantage belongs to the Dallas Mavericks. Luka Dončić led his
team to a 96-93 victory over the Los Angeles Clippers in Game 2 of their
first-ro...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment