Mshambuliaji Kelechi Iheanacho (kulia) akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester City, Leroy Sane na Nolito baada ya kufunga bao la kusawazisha dakika ya nane katika sare ya 1-1 na Celtic kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Patrick Roberts alianza kuwafungia Man City dakika ya nne na kwa matokeo hayo City inamaliza nafasi ya pili nyuma ya Barcelona na zote zinafuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Exactly what Harry Maguire said to fourth official in eight-word
f-bomb tirade to be slapped with extra one-game ban for Man United's trip
to Chelsea
-
The reasons why Harry Maguire has been given an extra one-game ban
following his red card at Bournemouth last month can be revealed, after the
FA released ...
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment