Kieran Gibbs (katikati), akiwa na shujaa wa mabao matatu ya Arsenal, Lucas Perez (kushoto) katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, FC Basle usiku wa jana Uwanja wa St. Jakob-Park mjini Basel kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Alex Iwobi, wakati la wenyeji lilifungwa na Seydou Doumbia na kwa matokeo hayo The Gunners wanamaliza kileleni kwa pointi zao 14, mbili zaidi ya PSG waliomaliza nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Warriors' Draymond Green: 'Appreciate My Dawgs' Defeating Magic After
Ejection
-
Draymond Green was happy to see the Golden State Warriors get a much-needed
win over the Orlando Magic on Wednesday night in a game that he was ejected
from…
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment