Mcheza chipukizi wa Brazil, Gabriel Jesus (kushoto) baada ya kuwasili mjini Manchester jana, miezi mitatu tangu akubali kuhamia klabu ya Manchester City ya England kutoka Palmeiras ya kwao. Mshambuliaji huyo aliyesaini Man City mwanzoni mwa msimu, kwa wiki atakuwa mjini humo kufahamiana na wachezaji wenzake wapya kisha ataondoka kabla ya kurejea Januari kuanza kazi rasmi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: Premier League clubs face MORE mayhem next season as fixture
dates for 2024/25 are released... and there are 'no obvious solutions' to
some of the clashes between European and domestic games
-
Top teams face the possibility of three clashes between midweek European
games and Carabao Cup assignments.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment