• HABARI MPYA

    Monday, March 16, 2015

    YANGA SC NA FC PLATINUM KATIKA PICHA JANA TAIFA

    Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima akimtoka beki wa FC Platinum ya Zimbabwe jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa kwanza Raundi ya Kwanza, Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga SC ilishinda 5-1.
    Kiungo wa Yanga SC, Salum Telela akipambana na mchezaji wa Platinum
    Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Mrisho Ngassa akimgeuza beki wa Platinum, Elvis Moyo
    Beki wa Yanga SC, Oscar Joshua akimpiga chenga mshambuliaji wa Platinum
    Mshambuliaji wa Yanga SC, Kpah Sherman akijiandaa kupiga krosi baada ya kumzidi maarifa beki wa Platinum
    Mshambuliaji wa Yanga SC, Amisi Tambwe akimtoka beki wa Platinum

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC NA FC PLATINUM KATIKA PICHA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top