• HABARI MPYA

    Friday, January 23, 2009

    WABOGOJO NAYE ALIKUWEPOO...

    Mmoja wa wacheza sarakasi wa kikundi cha Zain Mama Afrika
    Sarakasi, Athuman Ford 'Wabogojo' akionyesha vimbwanga wakati wa
    mazoezi ya viungo ya kikundi hicho Dar es Salaam jana. Wachezaji hao
    wanaendelea na mazoezi kwa ajili ya maonyesho ya sarakasi ya Zain
    yatakayohamishiwa viwanja vya Biafra, Kinondoni mwishoni mwa mwezi huu

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    1 comments:

    Unknown said... January 24, 2009 at 4:42 AM

    JAMAA NI MKALI SIJUI KAMA KIPAJI ALICHONACHO KINAMNUFAISHA KWELI,KAMA VP SERIKALI IWATAZAME WATU KAMA HAO KWANI WANALIACHA DILI LINAPITA TU KWEUPE.

    Item Reviewed: WABOGOJO NAYE ALIKUWEPOO... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top