• HABARI MPYA

    Friday, January 30, 2009

    KIFAA HIKI NACHO NI HATARI

    Mshambuliaji wa JKT Ruvu, Bakari Kondo (kulia) akichuana na beki wa Azam FC Boniphace Pawasa katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom Tz Bara, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mshambuliaji huyu, ana kasi, nguvu, uwezo kumiliki mpira akicheza katikati au pembeni. Hakika kama ataendeleza juhudi, bila shaka muda si mrefu ataingia kwenye kapu la wachezaji bora nchini.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIFAA HIKI NACHO NI HATARI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top