Raheem Sterling (kushoto) akipongezwa na mwenzake baada ya kuifungia Manchester City mabao matatu dakika za 21,53 na 81 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa AMEX. Mabao mengine ya Manchester City yalifungwa na Gabriel Jesus dakika ya 44 na Bernardo Silva dakika ya 56 na kwa ushindi huo, kikosi cha Pep Guardiola kinafikisha pointi 72 na kuendelea kukamata nafasi ya pili, nyuma ya mabingwa tayari, Liverpool wenye pointi 93 baada ya wote kucheza mechi 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lando Norris squirms on stage as his American McLaren boss makes 'domestic
violence joke' about his wife and reels off a string of expletives in
off-the-rails post-season party speech
-
F1 fans have been left shocked after McLaren boss Zak Brown went on an
unhinged rant in his end of season speech
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment