Tammy Abraham akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la tatu dakika ya 71 ikiwalza wenyeji, Crystal Palace 3-2 usiku wa jana katika mchezo wa Ligi ya England Uwanja wa Selhurst Park. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Olivier Giroud dakika ya sita na Christian Pulisic dakika ya 27, wakati ya Crystal Palace yalifungwa na Wilfried Zaha dakika ya 34 na Christian Benteke dakika ya 72. Kwa ushindi huo, Chelsea inafikisha pointi 60 baada ya kucheza mechi 34 na kupanda nafasi ya tatu, sasa ikizidiwa pointi sita na Manchester City wanaoshika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lando Norris squirms on stage as his American McLaren boss makes 'domestic
violence joke' about his wife and reels off a string of expletives in
off-the-rails post-season party speech
-
F1 fans have been left shocked after McLaren boss Zak Brown went on an
unhinged rant in his end of season speech
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment