Bruno Fernandes akiwa ameshika tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya England mwezi Juni baada ya kukabdhiwa leo. Hiyo inakuwa tuzo ya pili kwa Fernandes aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 68 Januari kutoka Sporting ya kwao, Ureno baada ya kushinda pia Februari kabla ya Ligi kusimama kwa sababu ya maambukizi ya virusi vya corona. Fernandes anakuwa mchezaji wa kwanza wa Manchester United kutwaa tuzo hiyo mara mbili mfululizo tangu Mreno mwenzake, Cristiano Ronaldo mwaka 2006 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment